Kiungo Mmarekani, Christian Pulisic akishangilia baada ya kufunga mabao matatu dakika za 21, 45 na 56 katika ushindi wa 4-2 dhidi ya wenyeji, Burnley leo Uwanja wa Turf Moor. Bao lingine la The Blues limefungwa na Willian 58, wakati ya Burnley yamefungwa na Jay Rodriguez dakika ya 86 na Dwight McNeil dakika ya 89 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Arsenal pass their most difficult test after breathless VAR drama: OLIVER
HOLT on the moment that could define the season, how the Gunners nearly
lost their heads and what Pep Guardiola would have made of it all
-
OLIVER HOLT AT THE LONDON STADIUM: On Saturday night, Pep Guardiola had
raised his arms and crossed one wrist in front of the other in the symbol
of West H...
8 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment