Kiungo Mmarekani, Christian Pulisic akishangilia baada ya kufunga mabao matatu dakika za 21, 45 na 56 katika ushindi wa 4-2 dhidi ya wenyeji, Burnley leo Uwanja wa Turf Moor. Bao lingine la The Blues limefungwa na Willian 58, wakati ya Burnley yamefungwa na Jay Rodriguez dakika ya 86 na Dwight McNeil dakika ya 89 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
David de Gea could miss a MONTH for personal reasons as Man United 'tell Dean Henderson to be ready
-
The Englishman has been desperate for a run in the side and had to settle
for cup games both domestically and in Europe to seize his chance. The
reason for...
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment