Kylian Mbappe (kulia) akishangilia na Mauro Icardi (kushoto) baada ya kuifungia Paris Saint Germain mabao matatu dakika za 61, 79 na 83 katika ushindi wa 5-0 dhidi ya wenyeji, Club Brugge kwenye mchezo wa Kundi A Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Jan Breydel mjini Brugge. Mabao mengine ya PSG yalifungwa na Icardi dakika ya saba na ya 63 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Emmanuel Acho Announces He'll Host The Bachelor's 'After the Final Rose' Show
-
Former NFL player and current Fox Sports analyst Emmanuel Acho is going to
be hosting The Bachelor special "After the Final Rose" on March 15...
55 minutes ago
0 comments:
Post a Comment