Mshambuliaji Mmisri, Mohamed Salah akimrukia Nahodha wake, kiungo Jordan Henderson kushangilia naye baada ya wote kufunga katika ushindi wa 2-1 wa Liverpool dhidi ya Tottenham Hotspur kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Anfield. Henderson alifunga la kwanza dakika ya 52 na Sakah la pili kwa penalti dakika ya 75, wakati bao pekee la Spurs limefungwa na Harry Kane sekunde ya 40 na kwa ushindi huo Liverpool imefikisha pointi 28 katika mchezo wa 10 sasa ikiwazidi pointi sita mabingwa watetezi, Manchester City PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Kelly Loeffler, Mary Brock Reportedly 'On Verge' of Selling WNBA's Atlanta Dream
-
The sale of the WNBA 's Atlanta Dream may be close on the horizon,
according to the Atlanta Journal-Constitution 's Chris Vivlamore ...
40 minutes ago
0 comments:
Post a Comment