Mshambuliaji Mmisri, Mohamed Salah akimrukia Nahodha wake, kiungo Jordan Henderson kushangilia naye baada ya wote kufunga katika ushindi wa 2-1 wa Liverpool dhidi ya Tottenham Hotspur kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Anfield. Henderson alifunga la kwanza dakika ya 52 na Sakah la pili kwa penalti dakika ya 75, wakati bao pekee la Spurs limefungwa na Harry Kane sekunde ya 40 na kwa ushindi huo Liverpool imefikisha pointi 28 katika mchezo wa 10 sasa ikiwazidi pointi sita mabingwa watetezi, Manchester City PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Man United co-owner Sir Jim Ratcliffe 'confident of luring Gareth Southgate
to Old Trafford as England boss emerges as the overwhelming choice' to
replace Erik ten Hag after INEOS hold talks with club legends
-
Ratcliffe is increasingly confident of tempting Southgate to Old Trafford
after his INEOS sports team canvassed United legends.
7 minutes ago
0 comments:
Post a Comment