• HABARI MPYA

    Thursday, October 17, 2019

    MAZOEZI YA MWISHO TAIFA STARS LEO KABLA YA KUIVAA SUDAN KESHO KUWANIA TIKETI YA CHAN MWAKANI

    Wachezaji wa Tanzania wakifanya mazoezi leo Uwanja wa El-Merreikh mjini Khartoum kujiandaa na mchezo wa marudiano dhidi ya wenyeji, Sudan kesho Raundi ya mwisho ya mchujo wa kuwania tiketi ya kucheza Fainali za Ubingwa wa Mataifa ya Afrika (CHAN) mwakani nchini Sudan
    Kipa Metacha Mnata akiwa mazoezini leo Uwanja wa El-Merreikh mjini Khartoum. Taifa Stars ilifungwa 1-0 mechi ya kwanza Dar es Salaam 
    Kipa mkongwe, Juma Kaseja akiwaa mazoezini Uwanja wa El-Merreikh mjini Khartoum 

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MAZOEZI YA MWISHO TAIFA STARS LEO KABLA YA KUIVAA SUDAN KESHO KUWANIA TIKETI YA CHAN MWAKANI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top