• HABARI MPYA

    Thursday, October 24, 2019

    OXLADE-CHAMBERLAIN APIGA MBILI LIVERPOOL YAIKANYAGA GENK 4-1

    Kiungo Alex Oxlade-Chamberlain (kulia) akipongezwa na wenzake washambuliaji Sadio Mane na Roberto Firmino baada ya kuifungia Liverpoool mabao mawili katika ushindi wa 4-1 dhidi ya wenyeji, KRC Genk kwenye mchezo wa Kundi E Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Luminus ArenaPICHA ZAIDI GONGA HAPA

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: OXLADE-CHAMBERLAIN APIGA MBILI LIVERPOOL YAIKANYAGA GENK 4-1 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top