• HABARI MPYA

    Wednesday, October 30, 2019

    AZAM FC MAZOEZINI KUJIANDAA NA MCHEZO UJAO WA LIGI KUU DHIDI YA KAGERA SUGAR CHAMAZI

    Mshambuliaji Mrundi wa Azam FC, Suleiman Ndikumana akiwa mazoezini jana kujiandaa na mchezo ujao wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara dhidi ya Kagera Sugar Jumatatu ijayo hapo hapo Uwanja wa Azam Complex, Chamazi mjini Dar es Salaam  
    Kiungo wa Azam FC, Frank Domayo akiwa mazoezini kujiandaa na mchezo ujao wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara dhidi ya Kagera Sugar Jumatatu ijayo
    Mshambuliaji wa Azam FC, Frank Domayo akiwa mazoezini kujiandaa na mchezo ujao wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara dhidi ya Kagera Sugar Jumatatu ijayo 
    Beki Mganda wa Azam FC, Nico Wadada akiwa mazoezini kujiandaa na mchezo ujao wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara dhidi ya Kagera Sugar Jumatatu ijayo
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: AZAM FC MAZOEZINI KUJIANDAA NA MCHEZO UJAO WA LIGI KUU DHIDI YA KAGERA SUGAR CHAMAZI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top