• HABARI MPYA

    Thursday, October 31, 2019

    RASHFORD AIPELEKA MANCHESTER UNITED ROBO FAINALI CARABAO

    Marcus Rashford akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia bao la ushindi Manchester United dakika ya 73 ikiwalaza wenyeji, Chelsea 2-1 katika mchezo wa hatua ya 16 Bora Kombe la Ligi England, maarufu kama Carabao Cup usiku wa jana Uwanja wa Stamford Bridge mjini London. Rashford pia ndiye aliyefunga bao la kwanza la Man United dakika ya 25 kwa penalti, baada ya Daniel James kuchezewa rafu na Marcos Alonso, lakini Michy Batshuayi akaisawazishia Chelsea dakika ya 61 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: RASHFORD AIPELEKA MANCHESTER UNITED ROBO FAINALI CARABAO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top