Marcus Rashford akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia bao la ushindi Manchester United dakika ya 73 ikiwalaza wenyeji, Chelsea 2-1 katika mchezo wa hatua ya 16 Bora Kombe la Ligi England, maarufu kama Carabao Cup usiku wa jana Uwanja wa Stamford Bridge mjini London. Rashford pia ndiye aliyefunga bao la kwanza la Man United dakika ya 25 kwa penalti, baada ya Daniel James kuchezewa rafu na Marcos Alonso, lakini Michy Batshuayi akaisawazishia Chelsea dakika ya 61 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Cat steals the spotlight during music exam with surprise stage entrance
-
A university music exam took an unexpected turn in eastern China when a
curious cat wandered onto the stage mid-performance. The moment unfolded on
January...
58 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment