Mshambuliaji Muargentina, Paulo Dybala akishangilia baada ya kuifungia mabao yote mawili Juventus dakika za 77 na 79 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Lokomotiv Moscow kwenye mchezo wa Kundi D Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Allianz mjini Torino. Bao la Lokomotiv Moscow lilifungwa na Aleksey Miranchuk dakika ya 30 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Olympics shock as star makes stunning defection to Australia - and he could
challenge Gout Gout
-
New Zealand's fastest man Eddie Osei-Nketia has officially changed
allegiances in a move that could have major ramifications for Australian
sprinting ahead...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment