Mshambuliaji Muargentina, Paulo Dybala akishangilia baada ya kuifungia mabao yote mawili Juventus dakika za 77 na 79 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Lokomotiv Moscow kwenye mchezo wa Kundi D Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Allianz mjini Torino. Bao la Lokomotiv Moscow lilifungwa na Aleksey Miranchuk dakika ya 30 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Kelly Loeffler, Mary Brock Reportedly 'On Verge' of Selling WNBA's Atlanta Dream
-
The sale of the WNBA 's Atlanta Dream may be close on the horizon,
according to the Atlanta Journal-Constitution 's Chris Vivlamore ...
27 minutes ago
0 comments:
Post a Comment