• HABARI MPYA

    Friday, October 18, 2019

    RICHARD D'JODI AFUNGA MABAO MAWILI AZAM FC YAICHAPA TRANSIT CAMP 3-2 CHAMAZI

    Mshambuliaji Muivory Coast, Richard Ella D'jodi akipiga shuti katika mchezo wa kirafiki ambao alifunga mabao mawili dakika za 15 na 34 Azam FC ikishinda 3-2, bao lingine likifungwa na Mzambia, Obrey Chirwa huku mabao ya Transit yakifungwa na Shaffi Moshi dakika za 66 na 86 Uwanja wa Azam Complex, Chamazi mjini Dar es Salaam   
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: RICHARD D'JODI AFUNGA MABAO MAWILI AZAM FC YAICHAPA TRANSIT CAMP 3-2 CHAMAZI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top