Mchezaji wa zamani wa Arsenal, Serge Gnabry akishangilia baada ya kufungia Bayern Munich mabao manne dakika za 53, 55, 83 na 88 katika ushindi wa 7-2 dhidi ya wenyeji Tottenham Hotspur kwenye mchezo wa Kundi B Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Tottenham Hotspur mjini London. Mabao mengine ya Bayern Munich yalifungwa na Joshua Kimmich dakika ya 15 na Robert Lewandowski 45 na 87 wakati ya Spurs yalifungwa na Son Heung-Min dakika ya 12 na Harry Kane kwa penalti dakika ya 61 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
The Ashes LIVE: Aussie commentator apologises for his VERY rude swipe at
England
-
Get all the latest scores and updates as Ben Stokes's England team try to
bounce back after a mistake-riddled day two in Brisbane.
30 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment