• HABARI MPYA

    Wednesday, October 02, 2019

    SERGE GNABRY APIGA NNE BAYERN YAICHAPA SPURS 7-2 LONDON

    Mchezaji wa zamani wa Arsenal, Serge Gnabry akishangilia baada ya kufungia Bayern Munich mabao manne dakika za 53, 55, 83 na 88 katika ushindi wa 7-2 dhidi ya wenyeji Tottenham Hotspur kwenye mchezo wa Kundi B Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Tottenham Hotspur mjini London. Mabao mengine ya Bayern Munich yalifungwa na Joshua Kimmich dakika ya 15 na Robert Lewandowski 45 na 87 wakati ya Spurs yalifungwa na Son Heung-Min dakika ya 12 na Harry Kane kwa penalti dakika ya 61 

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SERGE GNABRY APIGA NNE BAYERN YAICHAPA SPURS 7-2 LONDON Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top