Mshambuliaji Mbelgiji, Michy Batshuayi akikimbia kushangilia baada ya kuifungia bao pekee Chelsea dakika ya 86 ikiwalaza wenyeji, Ajax 1-0 katika mchezo wa Kundi H Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Johan Cruijff Arena mjini Amsterdam usiku wa jana PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Anderson scores late equaliser as Forest move closer to safety
-
Elliot Anderson scores against his former club to earn Nottingham Forest a
1-1 draw against Newcastle United and a seven-point cushion from the
Premier Lea...
4 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment