Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuifungia bao la ushindi Juventus kwa penalti dakika ya 90 na ushei baada ya yeye mwenyewe kuchezewa rafu na Antonio Sanabria kwenye boksi katika ushindi wa 2-1 dhidi ya 2-1 kwenye mchezo wa Serie A usiku wa jana Uwanja wa Allianz mjini Torino. Juventus walitangulia kwa bao la Leonardo Bonucci dakika ya 36, kabla ya Christian Kouame kuisawazishia Genoa dakika ya 40 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
David de Gea could miss a MONTH for personal reasons as Man United 'tell Dean Henderson to be ready
-
The Englishman has been desperate for a run in the side and had to settle
for cup games both domestically and in Europe to seize his chance. The
reason for...
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment