Cristiano Ronaldo akifurahia baada ya kufungia Juventus bao la tatu dakika ya 88 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Bayer Leverkusen kwenye mchezo wa Kundi D Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Allianz mjini Torino. Mabao mengine ya Juventus yamefungwa na Gonzalo Higuain dakika ya 17 na Federico Bernardeschi dakika ya 61 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Trump Says He'll Have 'Election Integrity Army' in Every State During
Midterms That'll Be 'Much Bigger' Than 2024
-
The announcement is a direct response to Chuck Schumer's newly unveiled
election task force
10 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment