Cristiano Ronaldo akifurahia baada ya kufungia Juventus bao la tatu dakika ya 88 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Bayer Leverkusen kwenye mchezo wa Kundi D Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Allianz mjini Torino. Mabao mengine ya Juventus yamefungwa na Gonzalo Higuain dakika ya 17 na Federico Bernardeschi dakika ya 61 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
James Harden, Adidas Promoting New Shoe in Minority-Owned Businesses
-
This is James Harden 's first season with the Brooklyn Nets , but he is
already looking for ways to give back to the community...
25 minutes ago
0 comments:
Post a Comment