• HABARI MPYA

    Wednesday, October 02, 2019

    RONALDO AFUNGA JUVENTUS YAICHAPA BAYER LEVERKUSEN

    Cristiano Ronaldo akifurahia baada ya kufungia Juventus bao la tatu dakika ya 88 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Bayer Leverkusen kwenye mchezo wa Kundi D Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Allianz mjini Torino. Mabao mengine ya Juventus yamefungwa na Gonzalo Higuain dakika ya 17 na Federico Bernardeschi dakika ya 61 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: RONALDO AFUNGA JUVENTUS YAICHAPA BAYER LEVERKUSEN Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top