Cristiano Ronaldo akifurahia baada ya kufungia Juventus bao la tatu dakika ya 88 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Bayer Leverkusen kwenye mchezo wa Kundi D Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Allianz mjini Torino. Mabao mengine ya Juventus yamefungwa na Gonzalo Higuain dakika ya 17 na Federico Bernardeschi dakika ya 61 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Gilgeous-Alexander's 33 points in 3 quarters power Thunder to 14th straight
win
-
OKLAHOMA CITY (AP) — Shai Gilgeous-Alexander scored 33 in three quarters,
and the Oklahoma City Thunder defeated the Dallas Mavericks 132-111 on
Friday nig...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment