Nyota wa Barcelona, Luis Suarez na Lionel Messi wakipongezana baada ya wote kufunga katika ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji, Eibar kwenye mchezo wa La Liga leo Uwanja wa Uwanja wa Manispaa ya Ipurua. Messi alifunga dakika ya 58 na Suarez dakika ya 66 baada ya Antoine Griezmann kufunga la kwanza dakika ya 13 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Manchester City's Pep Guardiola 'to put Mino Raiola issues aside in £100m pursuit of Erling Haaland'
-
the Norwegian is represented by Raiola, who famously fell out with
Guardiola over his treatment of superstar client Zlatan Ibrahimovic at
Barcelona. But th...
10 minutes ago
0 comments:
Post a Comment