Nyota wa Barcelona, Luis Suarez na Lionel Messi wakipongezana baada ya wote kufunga katika ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji, Eibar kwenye mchezo wa La Liga leo Uwanja wa Uwanja wa Manispaa ya Ipurua. Messi alifunga dakika ya 58 na Suarez dakika ya 66 baada ya Antoine Griezmann kufunga la kwanza dakika ya 13 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
WRU hold talks with Ospreys owners to buy Cardiff
-
The Welsh Rugby Union will enter a "period of exclusivity" with Ospreys
owners Y11 Sport & Media to discuss buying rivals Cardiff.
6 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment