Son Heung-min akifurahia baada ya kuifungia Tottenham Hotspur mabao mawili dakika za 16 na 44 katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Red Star Belgrade kwenye mchezo wa Kundi B Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Tottenham Hotspur mjini London. Mabao mengine ya Spours yalifungwa na Harry Kane mawili pia dakika ya tisa na 72 na Erik Lamela dakika ya 57 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Soccer Aid 2024: Alex Scott returns as host while Bobby Brazier and Tommy
Fury lead the stars lacing up their boots and taking to the pitch for
annual charity match
-
Soccer Aid for UNICEF 2024 has announced it's celebrity players ahead of
the annual charity match on Sunday 9th June at Stamford Bridge.
37 minutes ago
0 comments:
Post a Comment