Wachezaji wa Manchester City wakimpongeza mwenzao, David Silva baada ya kufunga bao la pili dakika ya 41, kufuatia Gabriel Jesus kufunga la kwanza dakika ya 39 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji, Crystal Palace leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Selhurst Park mjini London PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Portugal to switch game against Azerbaijan to Italy, Premier League stars will AVOID quarantine
-
Liverpool boss Jurgen Klopp had already indicated he would ask his stars to
avoid playing matches in countries on the UK's 'red list' - and Portugal
have m...
8 minutes ago
0 comments:
Post a Comment