Cristiano Ronaldo akiifungia Ureno bao la kufutia machozi kwa penalti dakika ya 72 baada ya Stepanenko wa Ukraine kuunawa mpira kwenye mchezo wa Kundi B kufuzu Euro 2020 usiku wa jana Uwanja wa NSK Olimpiki mjini Kiev, hilo likiwa nao lake la 700 tangu aanze soka. Ukraine ilishinda 2-0, mabao yake yakifungwa na Roman Yaremchuk dakika ya sita na Andriy Yarmolenko dakika ya 27 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chelsea host Man Utd in Women's FA Cup - see full fifth-round draw
-
Holders Chelsea will take on Manchester United in the fifth round of the
Women's FA Cup - a repeat of last year's final.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment