• HABARI MPYA

    Tuesday, October 15, 2019

    RONALDO AFIKISHA MABAO 700 LAKINI URENO YACHAPWA 2-1 UKRAINE

    Cristiano Ronaldo akiifungia Ureno bao la kufutia machozi kwa penalti dakika ya 72 baada ya Stepanenko wa Ukraine kuunawa mpira kwenye mchezo wa Kundi B kufuzu Euro 2020 usiku wa jana Uwanja wa NSK Olimpiki mjini Kiev, hilo likiwa nao lake la 700 tangu aanze soka. Ukraine ilishinda 2-0, mabao yake yakifungwa na Roman Yaremchuk dakika ya sita na Andriy Yarmolenko dakika ya 27 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: RONALDO AFIKISHA MABAO 700 LAKINI URENO YACHAPWA 2-1 UKRAINE Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top