Cristiano Ronaldo akiifungia Ureno bao la kufutia machozi kwa penalti dakika ya 72 baada ya Stepanenko wa Ukraine kuunawa mpira kwenye mchezo wa Kundi B kufuzu Euro 2020 usiku wa jana Uwanja wa NSK Olimpiki mjini Kiev, hilo likiwa nao lake la 700 tangu aanze soka. Ukraine ilishinda 2-0, mabao yake yakifungwa na Roman Yaremchuk dakika ya sita na Andriy Yarmolenko dakika ya 27 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Trossard revels in ‘joy’ of late Arsenal win at West Ham
-
Leandro Trossard has said the overriding feeling is ‘joy’ after scoring a
crucial winner for Arsenal at West Ham.Trossard fired home with seven
minutes rem...
9 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment