• HABARI MPYA

    Monday, October 14, 2019

    KIPAGWILE NA MAHUNDI WAFUNGA AZAM FC YAICHAPA 2-0 AFRICAN LYON MECHI YA KIRAFIKI CHAMAZI

    Wachezaji wa Azam FC, Iddi Kipagwile na Joseph Mahundi wakipongezana baada ya wote kufunga kwenye ushindi wa 2-0 dhidi ya African Lyon ya Daraja la Kwanza kwenye mchezo wa kirafiki jioni ya leo Uwanja wa Azam Complex, Chamazi mjini Dar es Salaam  
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: KIPAGWILE NA MAHUNDI WAFUNGA AZAM FC YAICHAPA 2-0 AFRICAN LYON MECHI YA KIRAFIKI CHAMAZI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top