Marcus Rashford akiruka kwa ufundi kumalizia krosi nzuri ya Dan James kuifungia bao la kuongoza Manchester United dakika ya 36 kabla ya Adam Lallana kuisawazishia Liverpool dakika ya 85 timu hizo zikitoa sare ya 1-1 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Old Trafford leo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Anderson scores late equaliser as Forest move closer to safety
-
Elliot Anderson scores against his former club to earn Nottingham Forest a
1-1 draw against Newcastle United and a seven-point cushion from the
Premier Lea...
4 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment