Ilkay Gundogan akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Manchester City bao la tatu dakika ya 70, kufuatia Raheem Sterling kufunga la kwanza dakika ya 46 na David Silva la pili dakika ya 65 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Aston Villa kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Etihad. Kwa ushindi huo, Man City inafikisha pointi 22 baada ya kucheza mechi 10, sasa ikizidiwa pointi tatu tu na Liverpool ambayo hata hivyo imecheza mechi tisa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Former Real Madrid coach Kiko Lopez nears Asante Kotoko head coach role
-
French-Spanish trainer Joaquin Lopez Martinez also known as Kiko Lopez is
close to landing Asante Kotoko SC coaching job according to sources.The
49-year-o...
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment