Kocha wa Real Madrid, Zinedine Zidane akipangusa uso wake wakati wa mchezo wa Kundi A Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Club Brugge uliomalizika kwa sare ya 2-2 usiku wa jana Uwanja wa Santiago Bernabeu mjini Madrid. Club Brugge ilitangulia kwa mabao ya mshambuliaji wake Mnigeria Emmanuel Dennis dakika ya tisa na 39 kabla ya Real Madrid kusawazisha kupitia kwa Sergio Ramos dakika ya 55 na Casemiro dakika ya 85 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
SNL fans cry foul as the show AGAIN ignores Mike Vrabel and Dianna Russini
affair scandal
-
Married New England Patriots coach Vrabel was pictured in early April
appearing intimate with also married reporter Russini at an adults-only
resort in Ari...
5 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment