Refa Mike Dean akimuonyesha kadi nyekundu winga wa Manchester United, Ashley Young baada ya kumchezea rafu Diogo Jota wa Wolverhampton Wanderers katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Molineux mjini Wolverhampton, West Midlands. Mabao ya Wolverhampton yalifungwa na Diogo Jota dakika ya 25 na Chris Smalling aliyejifunga dakika ya 77, wakati la Man United lilifungwa na Scott McTominay dakika ya 13 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Newcastle vs Chelsea - Premier League LIVE: Latest score, team news and
updates as the Blues are without keyman Estevao Willian for their trip to
St James' Park
-
Follow Daily Mail Sport's live blog for the latest score, team news and
updates a Newcastle host Chelsea at St James' Park in the Premier League.
53 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment