Refa Mike Dean akimuonyesha kadi nyekundu winga wa Manchester United, Ashley Young baada ya kumchezea rafu Diogo Jota wa Wolverhampton Wanderers katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Molineux mjini Wolverhampton, West Midlands. Mabao ya Wolverhampton yalifungwa na Diogo Jota dakika ya 25 na Chris Smalling aliyejifunga dakika ya 77, wakati la Man United lilifungwa na Scott McTominay dakika ya 13 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
How to watch and follow United v Arsenal
-
TV info, team news and more ahead of our penultimate Old Trafford outing of
2023/24.
25 minutes ago
0 comments:
Post a Comment