Cristiano Ronaldo akishangilia kwa staili yake maarufu baada ya kuifungia bao la kuongoza Juventus dakika ya 45 kabla ya David Neres kuisawazishia Ajax dakika ya 46 timu hizo zikitoka sare ya 1-1 usiku wa jana kwenye mchezo wa kwanza wa Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Johan Cruijff Arena mjini Amsterdam na sasa zitarudiana Aprili 16 Uwanja wa Allianz mjini Torino PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Revealed: Chilling text NASCAR star Greg Biffle's wife sent to her mom just
minutes before tragic plane crash
-
Seven people were killed on Thursday after a Cessna C550 private jet, owned
by the 55-year-old racing driver, crashed on the runway at Statesville
Regional...
19 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment