Cristiano Ronaldo akishangilia kwa staili yake maarufu baada ya kuifungia bao la kuongoza Juventus dakika ya 45 kabla ya David Neres kuisawazishia Ajax dakika ya 46 timu hizo zikitoka sare ya 1-1 usiku wa jana kwenye mchezo wa kwanza wa Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Johan Cruijff Arena mjini Amsterdam na sasa zitarudiana Aprili 16 Uwanja wa Allianz mjini Torino PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Raiders' Maxx Crosby, Rams' Puka Nacua Join Jordan Brand's Roster of Elite
Athletes
-
Las Vegas Raiders defensive end Maxx Crosby and Los Angeles Rams wide
receiver Puka Nacua are the newest members of Jordan Brand's expansion into
the NFL. ...
26 minutes ago
0 comments:
Post a Comment