Lionel Messi wa Barcelona akiwa ameumia uso baada ya kugongana na Chris Smalling wa Manchester United kwenye mchezo wa kwanza wa Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya kipindi cha kwanza usiku wa jana Uwanja wa Old Trafford. Barcelona ilishinda 1-0 bao la kujifunga la Luke Shaw dakika ya 12 na timu hizo zitarudiana Aprili 16 Uwanja wa Camp Nou, Barcelona PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Predicting Every Premier League Team's Final Position with 1 Month to Go
-
On May 19, the 2023-24 Premier League season will officially draw to a
close. It's been a thrilling campaign, and there could still be some twists
to the t...
2 minutes ago
0 comments:
Post a Comment