Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) Wallace Karia akizungumza kwenye Kongamano la maendeleo linaloshirikisha mikoa ya Mwanza, Geita, Kagera, Shinyanga, Simiyu, Mara na Rukwa ambao ni waalikwa. Kongamano hilo linalofanyika mkoani Mwanza ni la siku moja likitangulia kabla ya mchezo wa Ngao ya Jamii kati ya Simba na Mtibwa Sugar utakaochezwa kesho Uwanja wa CCM Kirumba jijini humo
Hong Kong begins national security trial of Tiananmen vigil group
-
HONG KONG, Jan 22 (Reuters) - Hong Kong's High Court is set to start on
Thursday the landmark national security trial of three former leaders of a
now disb...
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment