Nyota wa Misri, Mohamed Salah akishangilia baada ya kuifungia Liverpool mabao manne dakika za nne, 43, 77 na 85 katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Watford kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Anfield. Bao lingine limefungwa na Mbrazil Roberto Firmino dakika ya 49 na sasa Wekundu hao wanafikisha pointi 63 baada ya kucheza mechi 31 katika nafasi ya tatu kwenye msimamo, nyuma ya Manchester zote, United pointi 65 na City 81 ambazo hata hivyo zimecheza mechi 30 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NEWCASTLE NOTEBOOK: Magpies are NOT demanding £15-20m from Man United to
end Dan Ashworth's gardening leave... and several players are 'furious'
over prospect of draining post-season trip to Australia
-
CRAIG HOPE:If the FA do introduce new rules banning far-flung end-of-season
friendlies on the grounds of player welfare, it will be welcomed by
sections of...
36 minutes ago
0 comments:
Post a Comment