Nyota wa Misri, Mohamed Salah akishangilia baada ya kuifungia Liverpool mabao manne dakika za nne, 43, 77 na 85 katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Watford kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Anfield. Bao lingine limefungwa na Mbrazil Roberto Firmino dakika ya 49 na sasa Wekundu hao wanafikisha pointi 63 baada ya kucheza mechi 31 katika nafasi ya tatu kwenye msimamo, nyuma ya Manchester zote, United pointi 65 na City 81 ambazo hata hivyo zimecheza mechi 30 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Wilfried Nancy's time as Celtic manager could soon be up ... but he's only
one symptom of a bigger illness which is currently gripping Parkhead
-
Almost 12 months ago, Brendan Rodgers sat in the media room at Lennoxtown
in a reflective mood. There were plenty of positives for the Northern
Irishman to...
18 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment