Nyota wa Misri, Mohamed Salah akishangilia baada ya kuifungia Liverpool mabao manne dakika za nne, 43, 77 na 85 katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Watford kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Anfield. Bao lingine limefungwa na Mbrazil Roberto Firmino dakika ya 49 na sasa Wekundu hao wanafikisha pointi 63 baada ya kucheza mechi 31 katika nafasi ya tatu kwenye msimamo, nyuma ya Manchester zote, United pointi 65 na City 81 ambazo hata hivyo zimecheza mechi 30 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Proud father Wayne Rooney watches on as son Kai plays for Man United
Under-18s... but youngster's wonderkid team-mate steals the show as he
scores AGAIN!
-
The young Red Devils thrashed their counterparts 6-1 at their Carrington
training complex - with one famous onlooker cheering on the hosts.
23 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment