Nyota wa Misri, Mohamed Salah akishangilia baada ya kuifungia Liverpool mabao manne dakika za nne, 43, 77 na 85 katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Watford kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Anfield. Bao lingine limefungwa na Mbrazil Roberto Firmino dakika ya 49 na sasa Wekundu hao wanafikisha pointi 63 baada ya kucheza mechi 31 katika nafasi ya tatu kwenye msimamo, nyuma ya Manchester zote, United pointi 65 na City 81 ambazo hata hivyo zimecheza mechi 30 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Liverpool vs Fulham - Premier League LIVE: Rio Ngumoha, 17, curls in
brilliant goal... before Mo Salah adds superb second
-
Follow Daily Mail Sport's live blog for the latest score, team news and
updates as Liverpool welcome Fulham to Anfield in the Premier League, with
Lewis St...
49 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment