• HABARI MPYA

    Thursday, February 01, 2018

    WALCOTT AIFUNGIA MABAO YOTE EVERTON YAICHAPA 2-1

    Mshambuliaji mpya, Theo Walcott aliyesajiliwa kutoka Arsenal dirisha dogo akishangilia baada ya kuifungia Everton mabao yote dakika za 25 na 39 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Leicester City Uwanja wa Goodison Park. Bao la kufutia machozi la Leicester City limefungwa na Jamie Vardy dakika ya Uwanja wa  PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: WALCOTT AIFUNGIA MABAO YOTE EVERTON YAICHAPA 2-1 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top