Mshambuliaji Muargentina, Sergio Aguero akifurahia na wenzake Bernardo Silva na Brahim Diaz baada ya kuifungia Manchester City bao la tatu dakika ya 89 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya West Bromwich Albion usiku wa Jumatano Uwanja wa Etihad, Mabao mengine ya City yamefungwa na Fernandinho dakika ya 19 na Kevin De Bruyne dakika ya 68 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
The numbers behind our 250 Academy graduates
-
Delve into some of the astonishing numbers behind this unique landmark for
the Reds' youth system.
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment