Mshambuliaji Mfaransa Olivier Giroud (kushoto) akishangilia na mchezaji mwenzake mpya, Emerson Palmieri baada ya kuifungia Chelsea bao lake la kwanza tangu asajiliwe kutoka Arsenal dakika ya 42 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Hull City usiku wa Ijumaa Uwanja wa Stamford Bridge, London kwenye mchezo wa hatua ya 16 Bora kombe la FA England. Mabao mengine ya The Blues inayotinga Robo Fainali yamefungwa na Willian mawili dakika ya pili na 32 na Pedro dakika ya 27 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
US House panel to vote on bill to give Congress authority over AI chip
exports
-
NEW YORK, Jan 21 (Reuters) - A key Republican lawmaker scheduled a
committee vote on Wednesday for a bill that would give Congress power over
artificial in...
20 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment