KWELI NI MPIRA WA MIGUU, LAKINI SI KWA MATEKE HAYA!
Wachezaji wa Azam FC, beki Mghana Daniel Amoah (kulia) na kiungo Mcameroon Stephan Kingue (kushoto) walijikuta wakichezeana rafu wenyewe juzi Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam katika harakati za kumdhibiti kiungo wa Simba, Muzamil Yassin (katikati) katika mchezo wa Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), au Azam Sports Federation Cup (ASFC). Simba ilishinda 1-0
Wachezaji wa kigeni wa Azam wanapeana maumivu huku kiungo wa Simba akijitoa
Tukio lilianzia hapa, wakati Muzamil Yassin anajivuta kupiga mpira
Baadaye, aliyeonekana kuugulia zaidi maumivu ni Kingue
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment