Cristiano Ronaldo akipiga shuti na kukosa bao la wazi katika mchezo wa kwanza wa hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Santiago Bernabeu, Real Madrid ikiichapa 3-2 Napoli ya Italia. Mabao ya Real yalifungwa na Karim Benzema dakika ya 18, Toni Kroos dakika ya 49 na Casemiro dakika ya 54, wakati la Napoli lilifungwa na Lorenzo Insigne dakika ya nane PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Miami Heat fans are SLAMMED by Kendrick Perkins for leaving 'too many'
empty seats for crucial play-in game against the Chicago Bulls... as they
are labelled 'not a great fanbase'
-
During ESPN's broadcast, the retired NBA center expressed his frustration
with the amount of empty seats at Kaseya Center in what could have been the
Heat'...
52 minutes ago
0 comments:
Post a Comment