• HABARI MPYA

    Thursday, February 16, 2017

    RONALDO AKOSA MABAO YA WAZI, REAL MADRID YAUA 3-1

    Cristiano Ronaldo akipiga shuti na kukosa bao la wazi katika mchezo wa kwanza wa hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Santiago Bernabeu, Real Madrid ikiichapa 3-2 Napoli ya Italia. Mabao ya Real yalifungwa na Karim Benzema dakika ya 18, Toni Kroos dakika ya 49 na Casemiro dakika ya 54, wakati la Napoli lilifungwa na Lorenzo Insigne dakika ya nane PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: RONALDO AKOSA MABAO YA WAZI, REAL MADRID YAUA 3-1 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top