Mshambuliaji wa Yanga, Said Mwamba 'Kizota' (marehemu) akiinua mikono kufurahia bao lililofungwa na mchezaji mwenzake, Edibily Lunyamila katika fainali ya Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati mwaka 1993 Uwanja wa Nakivubo, Kampala, Uganda dhidi ya wenyeji SC Villa. Yanga ilishinda 2-1 na kutwaa Kombe hilo, bao lingine likifungwa na Kizota mwenyewe, ambalo lilikuwa la kwanza na la kusawazisha siku hiyo baada ya Villa kutangulia
Misconduct complaint dismissed against judge who handled El Salvador prison
deportation case
-
A federal appeals court judge has dismissed a misconduct complaint filed by
the Justice Department against a judge who clashed with President Donald
Trump ...
54 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment