Mshambuliaji wa Yanga, Said Mwamba 'Kizota' (marehemu) akiinua mikono kufurahia bao lililofungwa na mchezaji mwenzake, Edibily Lunyamila katika fainali ya Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati mwaka 1993 Uwanja wa Nakivubo, Kampala, Uganda dhidi ya wenyeji SC Villa. Yanga ilishinda 2-1 na kutwaa Kombe hilo, bao lingine likifungwa na Kizota mwenyewe, ambalo lilikuwa la kwanza na la kusawazisha siku hiyo baada ya Villa kutangulia
Carlo Ancelotti's son leaves first management job under mysterious
circumstances after 'falling out with the board' at Brazilian side Botafogo
-
The 36-year-old had previously assisted his famous father at clubs
including Bayern Munich, Napoli, Everton, and Real Madrid, and remains his
assistant for...
16 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment