• HABARI MPYA

    Wednesday, October 19, 2016

    YANGA ILIPOIPIGA 2-1 SC VILLA KAMPALA 1993 FAINALI KLABU BINGWA

    Mshambuliaji wa Yanga, Said Mwamba 'Kizota' (marehemu) akiinua mikono kufurahia bao lililofungwa na mchezaji mwenzake, Edibily Lunyamila katika fainali ya Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati mwaka 1993 Uwanja wa Nakivubo, Kampala, Uganda dhidi ya wenyeji SC Villa. Yanga ilishinda 2-1 na kutwaa Kombe hilo, bao lingine likifungwa na Kizota mwenyewe, ambalo lilikuwa la kwanza na la kusawazisha siku hiyo baada ya Villa kutangulia
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: YANGA ILIPOIPIGA 2-1 SC VILLA KAMPALA 1993 FAINALI KLABU BINGWA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top