Mshambuliaji wa Yanga, Said Mwamba 'Kizota' (marehemu) akiinua mikono kufurahia bao lililofungwa na mchezaji mwenzake, Edibily Lunyamila katika fainali ya Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati mwaka 1993 Uwanja wa Nakivubo, Kampala, Uganda dhidi ya wenyeji SC Villa. Yanga ilishinda 2-1 na kutwaa Kombe hilo, bao lingine likifungwa na Kizota mwenyewe, ambalo lilikuwa la kwanza na la kusawazisha siku hiyo baada ya Villa kutangulia
Wemby drills game-winner to lift Spurs past Suns, clinch first playoff
berth since 2019
-
Victor Wembanyama hit a game-winner over Oso Ighodaro in the final seconds
on Thursday night at the Frost Bank Center.
52 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment