Mshambuliaji Luis Suarez akipiga nje uzio wa benchi la wachezaji wa akina kwa hasira baada ya Uruguay kuruhusu bao ikilala 1-0 mbele ya Venezuela bao pekee la Salomon Rondon katika mchezo wa Copa America Alfajiri ya leo Uwanja wa Lincoln Financial Field mjini Philadelphia, Marekani. Venezuela imetinga Robo Fainali kwa ushindi huo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
U18s preview | Arsenal v Aston Villa
-
Everything you need to know as we host Aston Villa in our penultimate home
game of the season
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment