• HABARI MPYA

    Sunday, June 26, 2016

    UJERUMANI YAUA 3-0 NA KUTINGA ROBO FAINALI EURO 2016

    Beki Jerome Boateng akiruka juu kushangilia baada ya kuifungia Ujerumani bao la kwanza katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Slovakia kwenye mchezo wa hatua ya 16 Bora ya Euro 2016 usiku leo Uwanja wa Stade Pierre-Mauroy mjini Villeneuve d'Ascq, Ufaransa. Mabao mengine ya Ujerumani yamefungwa na Mario Gomez na Julian Draxler wakati Mesut ozil alikosa penalti  PICHA ZAIDI GONGA HAPA

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: UJERUMANI YAUA 3-0 NA KUTINGA ROBO FAINALI EURO 2016 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top