Mshambuliaji wa Ubelgiji, Eden Hazard akishangilia baada ya kuifungia timu yake katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Hungary kwenye mchezo wa hatua ya 16 Bora Euro 2016 Uwanja wa Manisipaa mjini Toulouse, Ufaransa. Mabao mengine ya Ubelgiji yamefungwa na Toby Alderweireld, Michy Batshuayi naYannick Carrasco na Ubelgiji inakwenda Robo Fainali ambako itakutana na Wales PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Inside the crisis of stalking and harassment in women's football: Stars
inundated with abuse and sexual messages, players fearing for their safety
in the street and how clubs are turning to AI to solve the problem
-
Earlier this week, Liverpool's Marie Hobinger described how 42-year-old
businessman Mangal Dalal's incessant and sexualised messaging on social
media corru...
44 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment