• HABARI MPYA

    Sunday, June 26, 2016

    JOSHUA AMTWANGA KO BREAZEALE NA KUTETEA TAJI LA IBF

    Bondia Anthony Joshua (kushoto) akimuadhibu mpinzani wake, Dominic Breazeale katika pambano la kutetea mkanda wake wa IBF uzito wa juu usiku wa jana ukumbi wa O2 Arena mjini London, Uingereza. Joshua alishinda kwa Technical Knockout (TKO) raundi ya saba   PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    ANGALIA VIDEO YA PAMBANO...
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: JOSHUA AMTWANGA KO BREAZEALE NA KUTETEA TAJI LA IBF Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top