• HABARI MPYA

    Saturday, June 25, 2016

    SHAQIRI AFUNGA BONGE LA BAO, LAKINI USWISI YATOLEWA KWA MATUTA EURO 2016

    Xherdan Shaqiri akibinuka tik tak kuisawazishia Uswisi katika sare ya 1-1 na Polanda kwenye mchezo wa hatua ya 16 Bora Euro 2016 Uwanja wa Geoffroy-Guichard mjini Saint-Etienne, Ufaransa. Bao la kutangulia la Poland iliyoshinda kwa penalti 5-4 baadaye, limefungwa na Jakub Blaszczykowski. Poland sasa itacheza na mshindi kati ya Croatia na Ureno katika Robo Fainali Alhamisi Uwanja wa Stade Velodrome mjini Marseille PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SHAQIRI AFUNGA BONGE LA BAO, LAKINI USWISI YATOLEWA KWA MATUTA EURO 2016 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top