• HABARI MPYA

    Monday, June 27, 2016

    SADIO MANE AFUZU VIPIMO VYA AFYA KUHAMIA LIVERPOOL

    Mshambuliaji Msenegali, Sadio Mane akionyesha alama ya dole gumba leo mbele ya kamera baada ya kukamilisha vipimo vya afya kuelekea uhamisho wake wa Pauni Milioni 30 kwenda Liverpool kutoka Southampton, zote za England PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SADIO MANE AFUZU VIPIMO VYA AFYA KUHAMIA LIVERPOOL Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top