Nyota wa Argentina, Lionel Messi akiifungia timu yake kwa shuti la mpira wa adhabu kutoka umbali wa mita 25 kuipatia bao la pili katika ushindi wa 4-0 kwenye mchezo wa Nusu Fainali Copa America dhidi ya wenyeji, Marekani asubuhi hii Uwanja wa NRG mjini Houston, Texas hilo likiwa bao lake la 55 kwa timu ya taifa na kuweka rekodi ya mchezaji aliyeifungia mabao mengi zaidi nchi yake. Mabao mengine ya Argentina yamefungwa na Ezequiel Lavezzi na Gonzalo Higuain mawili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Iran's famed singer Googoosh recalls family, exile and life in the spotlight
-
DUBAI, United Arab Emirates (AP) — For Googoosh, Iran's most-famous singer,
life always has been balancing act of one kind or another.
26 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment