• HABARI MPYA

    Wednesday, June 22, 2016

    ARGENTINA YAIFUMUA 4-0 MAREKANI COPA AMERICA MESSI AKIWEKA REKODI MPYA YA MABAO

    Nyota wa Argentina, Lionel Messi akiifungia timu yake kwa shuti la mpira wa adhabu kutoka umbali wa mita 25 kuipatia bao la pili katika ushindi wa 4-0 kwenye mchezo wa Nusu Fainali Copa America dhidi ya wenyeji, Marekani asubuhi hii Uwanja wa NRG mjini Houston, Texas hilo likiwa bao lake la 55 kwa timu ya taifa na kuweka rekodi ya mchezaji aliyeifungia mabao mengi zaidi nchi yake. Mabao mengine ya Argentina yamefungwa na Ezequiel Lavezzi na Gonzalo Higuain mawili  PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: ARGENTINA YAIFUMUA 4-0 MAREKANI COPA AMERICA MESSI AKIWEKA REKODI MPYA YA MABAO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top