• HABARI MPYA

    Saturday, June 25, 2016

    CAF YASHUSHA KONTENA LA JEZI YANGA, TFF YAMKABIDHI BARAKA

    Katibu wa Yanga, Baraka Deusdedit (kulia) akiandika jezi na vifaa vingine vya michezo walivyokabidhiwa na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) leo makao makuu ya shirikisho hilo, Uwanja wa Karume, Ilala, Dar es Salaam kutoka Shirikisho la Soka Afrika (CAF) kwa ajili ya mechi za Kundi A Kombe la Shirikisho la Soka Afrika
    Wanachama wa Yanga, maarufu kama 'Makomandoo' wakiwa wamepakia vifaa hivyo kwenye gari tayari kupelekwa makao makuu ya klabu, Jangwani
    Katibu wa Yanga, Baraka Deusdedit (katikati) akihakiki vifaa vilivyomo ndani ya maboksi
    Hapa mzigo unapakiwa kwenye gari kabla ya kupelekwa Jangwani
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: CAF YASHUSHA KONTENA LA JEZI YANGA, TFF YAMKABIDHI BARAKA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top