Dimitri Payet akikimbia kushangilia na Olivier Giroud baada ya kuifungia Ufaransa bao la ushindi dakika ya 89 ikiilaza 2-1 Romania katika mchezo wa ufunguzi wa Euro 2016 Uwanja wa Stade de France mjini Paris, Ufaransa. Bao lingine la Ufaransa katika mchezo huo wa Kundi A, lilifungwa na Olivier Giroud dakika ya 57, wakati la Romania lilifungwa na Bogdan Stancu kwa penalti dakika ya 25, baada ya Patrice Evra kumchezea rafu Nicolae Stanciu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
England players will support White - Henderson
-
Jordan Henderson says England players will support Ben White after the
Arsenal defender was booed by fans at Wembley in Friday's 1-1 draw with
Uruguay.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment