Mchezaji wa Croatia, Ivan Perisic akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao la ushindi dakika za lala salama ikiilaza 2-1 Hispania katika mchezo wa Kundi D Euro 2016 Uwanja wa Matmut-Atlantique mjini Bordeaux, Ufaransa. Hispania ilitangulia kwa bao la Alvaro Morata, kabla ya Nikola Kalinic kuisawazishia Croatia. Kwa matokeo hayo, Croatia inamaliza kileleni mwa kundi hilo kwa pointi zake saba, ikifuatiwa na Hispania iliyomaliza na pointi sita ambayo sasa inaweza kukutana na Italia katika hatua ya 16 Bora PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Leeds continue Jorgen Strand Larsen talks after Wolves reject £39m bid,
Crystal Palace target Chelsea defender - plus the latest on Lucas Paqueta:
TRANSFER WINDOW WATCH
-
The transfer window is open and here are today's developments from Daily
Mail Sport's Simon Jones - including which defender Crystal Palace are
eyeing up a...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment