Mchezaji wa Croatia, Ivan Perisic akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao la ushindi dakika za lala salama ikiilaza 2-1 Hispania katika mchezo wa Kundi D Euro 2016 Uwanja wa Matmut-Atlantique mjini Bordeaux, Ufaransa. Hispania ilitangulia kwa bao la Alvaro Morata, kabla ya Nikola Kalinic kuisawazishia Croatia. Kwa matokeo hayo, Croatia inamaliza kileleni mwa kundi hilo kwa pointi zake saba, ikifuatiwa na Hispania iliyomaliza na pointi sita ambayo sasa inaweza kukutana na Italia katika hatua ya 16 Bora PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mohamed Salah is 'DESTROYING' his Liverpool legacy: Wayne Rooney savages
angry Anfield hero after explosive Leeds rant - and says there is 'no way'
Arne Slot should let him back in the team
-
Rooney has called on Arne Slot to leave Salah out of his squads to face
Inter Milan and Brighton this week after the winger's outburst.
7 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment