Mchezaji wa Croatia, Ivan Perisic akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao la ushindi dakika za lala salama ikiilaza 2-1 Hispania katika mchezo wa Kundi D Euro 2016 Uwanja wa Matmut-Atlantique mjini Bordeaux, Ufaransa. Hispania ilitangulia kwa bao la Alvaro Morata, kabla ya Nikola Kalinic kuisawazishia Croatia. Kwa matokeo hayo, Croatia inamaliza kileleni mwa kundi hilo kwa pointi zake saba, ikifuatiwa na Hispania iliyomaliza na pointi sita ambayo sasa inaweza kukutana na Italia katika hatua ya 16 Bora PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Liverpool have 'set their sights on the new Mohamed Salah'... with the
Egyptian's future uncertain amid interest from Saudi Arabia
-
There remains uncertainty over Salah's future at Anfield, with the winger
having one year left on his contract and talks over an extension yet to
take place.
26 minutes ago
0 comments:
Post a Comment