Kipa wa Newcastle United, Rob Elliot akiutumbulia macho mpira ukitinga nyavuni baada ya pigo la tik tak la mshambuliaji wa kimataifa wa Japan, Shinji Okazaki kuipatia Leicester City bao pekee la ushindi dakika ya 25 dhidi ya Newcastle United katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa King Power. Ushindi huo katika mechi ya 30 ya ligi msimu huu, unaifanya Leicester ifikishe pointi 63, ikiwazidi kwa pointi tano Tottenham Hotspur walio nafasi ya pili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NFL Rumors: Deebo Trade 'More Likely' Than Brandon Aiyuk After 49ers Draft
Pearsall
-
Amid rumors that they will trade one of their star wide receivers, the San
Francisco 49ers drafted wide receiver Ricky Pearsall in the first round of
the NFL…
31 minutes ago
0 comments:
Post a Comment