NINJA WA YANGA SC ATUA MAREKANI KWA AJILI YA KUJIUNGA NA TIMU YA IBRAHIMOVIC
Aliyekuwa beki wa Yanga SC, Abdallah Shaibu 'Ninja' akiwa ameshika jezi ya klabu ya LA Galaxy Uwanja wa Dignity Health Sports Park Carson mjini California baada ya kuwasili kwa ajili ya kujiunga na timu hiyo inayocheza Ligi Kuu ya Marekani
Akisajiliwa na timu hiyo, Shaibu ataungana na mshambuliaji wa zamani wa Barcelona na AC Milan, Inter Milan, Zlatan Ibrahimovic
Einkaufen mit Termin in den BVB-Fanshops möglich
-
Wir freuen uns, die BVB-Fanshops wieder öffnen zu dürfen. Ab kommenden
Montag (8.3.) können Fans wieder in den Geschäften einkaufen, allerdings
muss dazu a...
Guber election. Bauchi students endorse pate
-
Paul Orude, Bauchi Coalition of Bauchi State Students and Youths Movement
has endorsed Dr Muhammad Ali Pate of the People’s Democratic Party (PDP)
for ...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment