• HABARI MPYA

    Sunday, August 25, 2019

    KOVALEV AMDUNDA ANTHONY YARDE KWA KO RAUNDI YA 11 URUSI

    Anthony Yarde akiwa chini baada ya kuangushwa na Sergey Kovalev raundi ya 11 katika pambano la ubingwa wa dunia usiku wa jana ukumbi wa Traktor Sport Palace, Chelyabinsk nchini Urusi. Kovalev alishinda kwa Knockout (KO) raundi ya 11 na kufanikiwa kutetea taji lake la WBO uzito wa Light Heavy PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: KOVALEV AMDUNDA ANTHONY YARDE KWA KO RAUNDI YA 11 URUSI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top