Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali katika Serikali ya Mapinduzi Zanzibar akiwasabahi wachezaji wa Yanga SC alipowatembelea mazoezini mjini Gaborone, Botswana. Simai ambaye pia ni Mwakilishi wa jimbo la Tunguu, Zanzibar upo Botswana kwa ziara ya kikazi wakati Yanga kesho itamenyana na wenyeji, Township Rollers katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika.
Wolves boss Gary O'Neil refuses to criticise Stuart Attwell after coming
under fire AGAIN for disallowing Hwang Hee-chan's goal against Bournemouth
- just days after VAR controversy with Nottingham Forest
-
Wolves boss Gary O'Neil offered his sympathy to referee Stuart Attwell
after the beleaguered match official was embroiled in more controversy in
Bournemout...
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment