Tammy Abraham akishangilia baada ya kufunga mabao mawili dakika ya tatu na 68 katika ushindi wa 3-2 wa Chelsea dhidi ya Norwich kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Carrow Road huo ukiwa ni ushindi wa kwanza wa kocha Frank Lampard tangu aanze kazi. Bao lingine la Chelsea limefungwa na Mason Mount dakika ya 17, wakati mabao ya Norwich yamefungwa na Todd Cantwell dakika ya sita na Teemu Pukki dakika ya 30 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
ESPN: Steph Curry's Leadership of Draymond Green Questioned by 'High-Level'
Insiders
-
Some around the NBA are beginning to ask questions of Golden State Warriors
star Stephen Curry after Draymond Green was ejected four minutes into
Wednesday's…
25 minutes ago
0 comments:
Post a Comment