Tammy Abraham akishangilia baada ya kufunga mabao mawili dakika ya tatu na 68 katika ushindi wa 3-2 wa Chelsea dhidi ya Norwich kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Carrow Road huo ukiwa ni ushindi wa kwanza wa kocha Frank Lampard tangu aanze kazi. Bao lingine la Chelsea limefungwa na Mason Mount dakika ya 17, wakati mabao ya Norwich yamefungwa na Todd Cantwell dakika ya sita na Teemu Pukki dakika ya 30 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Former Real Madrid coach Kiko Lopez nears Asante Kotoko head coach role
-
French-Spanish trainer Joaquin Lopez Martinez also known as Kiko Lopez is
close to landing Asante Kotoko SC coaching job according to sources.The
49-year-o...
22 minutes ago
0 comments:
Post a Comment