Mason Greenwood wa Manchester United akiwa chini kwenye boksi baada ya kuangushwa na Pierre-Emile Hojbjerg wa Southampton katika mchezo wa Ligi Kuu ya England timu hizo zikitoka sare ya 1-1 leo Uwanja wa St. Mary's 1-1. Hata hivyo, refa Mike Dean hakutoa penalti ingawa dakika ya 73 alimtoa kwa kadi nyekundu Kevin Danso wa Southampton kufuatia kumuonyesha kadi ya pili ya njano. Man United walitangulia kwa bao la Daniel James dakika ya 10 kabla ya Jannik Vestergaard kuwasawazishia wenyeji dakika ya 58 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Rasmus Hojlund admits he was 'bothered' by criticism during Man United goal
drought in the Premier League... and claims it was 'great to shut people
up' as he accuses critics of jealousy
-
The Dane went 14 games without a Premier League goal after joining from
Atalanta for £72million, despite scoring five goals in the Champions League
group s...
40 minutes ago
0 comments:
Post a Comment