• HABARI MPYA

    Thursday, August 29, 2019

    SANCHEZ ATUA MILAN KUKAMILISHA UHAMISHO WA MKOPOPO

    Alexis Sanchez akiwapungia mkono mashabiki baada ya kuwasili mjini Milan jana kwa ajili ya kufanya vipimo vya afya ili kukamilisha uhamisho wake wa mkopo AC Milan baada ya miezi 18 migumu Manchester United ya England PICHA ZAIDI GONGA HAPA
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SANCHEZ ATUA MILAN KUKAMILISHA UHAMISHO WA MKOPOPO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top