• HABARI MPYA

    Sunday, August 11, 2019

    RASHFORD AFUNGA MAWILI MAN UNITED YAICHAPA CHELSEA 4-0

    Mshambuliaji wa Manchester United, Marcus Rashford akishangilia baada ya kuifungia timu hiyo mabao mawili dakika za 18 kwa penalti na 67 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Chelsea kwenye mchezo wa ufunguzi wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Old Trafford mjini Manchester. Mabao mengine ya United inayofundishwa na kocha Ole Gunnar Solskjaer yalifungwa na Anthony Martial dakika ya 65 na Daniel James dakika ya 81 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: RASHFORD AFUNGA MAWILI MAN UNITED YAICHAPA CHELSEA 4-0 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top