Mshambuliaji wa Manchester United, Marcus Rashford akishangilia baada ya kuifungia timu hiyo mabao mawili dakika za 18 kwa penalti na 67 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Chelsea kwenye mchezo wa ufunguzi wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Old Trafford mjini Manchester. Mabao mengine ya United inayofundishwa na kocha Ole Gunnar Solskjaer yalifungwa na Anthony Martial dakika ya 65 na Daniel James dakika ya 81 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
ASHES BREAKFAST: England bowlers flayed as Jamie Smith delivers abiding
image after drop, Joe Root neuters Australia's headline makers and Nathan
Lyon is left feeling 'filthy', writes OLIVER HOLT
-
It was a difficult first session in the field. Wicketkeeper Jamie Smith put
down a simple catch from Travis Head, off the bowling of Archer, and that
seeme...
51 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment